HII NI MAKTABA NDOGO ILIOKO KATIKA MAKTABA KUU - PEMBA AMBAYO INA VITABU, MAJARIDA , MAGAZETI MBALI MBALI KUTOKA NCHINI MAREKANI.
Pia wanatoa huduma mbali mbali za kielimu , huduma za internet bure n.k
MADHUMUNI: YAKE NI KUDUMISHA URAFIKI KATI YA U.S NA TANZANIA
KUELIMISHA VIJANA WA PEMBA KATIKA NYANJA ZA MAENDELEO




No comments:
Post a Comment