Moyo Media - Adz

Moyo Media - Adz

Monday, March 28, 2011

HISTORIA : DAR-ES-SALAAM
Dar-es-salaam ilikuwa ikiitwa MZIZIMA ( kwa maana ya MJI WA NEEMA ) ni mji wa zamani ulioanza mwanzoni mwa miaka ya 1857 . ingawa historia ya Mzizima ilianza tangu miaka 1000 iliyopita ambapo watu wa Barawa ( ambao walijichanganya na Wazaramo na kuwa kati yao) ambao walitulia na kulima katika maeneo ya MBWA MAJI MAGOGONI kwa sasa inaitwa KIVUKONI , MJIMWEMA na GEZAULOLE.



DAR-ES-SALAAM NI MJI WA NEEMA  , NJOO UJIONEE ....

Historia hii ya jiji la neema inaendelea ....................

1 comment:

ALI O said...

congratulation mr mohd for your blog its nice one