ZAC - PEMBA YAANDAA MAFUNZO KWA VIJANA NA MAKUNDI MAALUM
Siku ya Jumamosi ya tarehe 29/08/2015 Tume ya Ukimwi Pemba ilianza kutoa mafunzo kwa makundi maalum kutoka kila kona ya Pemba, na kuwakutanisha kwa pamoja, Mjini Chake Chake, Skuli ya Maandalizi, Madungu
No comments:
Post a Comment